Neema  Modelling  Agency, wanakuletea  TANZANIA  HOTTEST  MODELS  COMPETITION. Ni    shindano  la  kumtafuta  mwanamitindo  wa  kike , mwenye   mvuto  kuliko  wote  Tanzania
SIFA  ZA  WASHIRIKI.
1.    Awe  msichana  mwenye  umri    usio pungua  miaka  kumi  na  nane  na  usio  zidi miaka  thelathini.
2.    Elimu  ya  kuanzia  kidato  cha  nne  na  kuendelea.
3.    Uwezo  wa  kuzungumza  kwa  ufasaha  lugha  za  Kiswahili  na  kiingereza.
4.    Awe  maridadi na  mwenye  mvuto
5.    Awe  raia  wa Tanzania  anaye  ishi  mahali  popote  ndani  au  nje  ya  Tanzania.
6.     Awe  na  passion  na  kazi  ya  mitindo.

UTARATIBU  WA  KUSHIRIKI.
Tuma  CV yako  pamoja  na  picha  zako  kumi  za  rangi  ( Full)  ulizo  piga  hivi  kaibuni, kwenda :neemamodelling@gmail.com.

Mwisho  wa  kupokea  maombi  ya  kushiriki  katika  shindano  hili  ni  tarehe  30 NOVEMBA  2015  saa  nane  kamili  mchana.
Shindano  kuzinduliwa rasmi  tarehe  05  DESEMBA  2015.
Kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  shindano  hili, tembelea  kila  siku : www.neemaherbalist.blogspot.com
 Kwa  maulizo  zaidi  wasiliana  nasi  kwa  simu  0765  10  30  80.
Au  fika  katika  ofisi  zetu  zilizopo  Ubungo  Dar  Es  salaam, karibu  na  Shule  Ya  Msingi  Ubungo  National  Housing, nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA jijini Dar es salaam.
 HII  NI  FURSA    YA  PEKEE  KWA  WANAMITINDO  CHIPUKIZI, KUONYESHA VIPAJI  VYAO  VYA  MITINDO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...