SIMU.TV:  Rais Magufuli awekewa kigingi bungeni, serikali kurudisha viwanda vilivyouzwa, ahadi za rais zaanza kutekelezwa;

SIMU.TV:  Mtihani wa kwanza kwa Rais Magufuli leo, kesi za rufaa Zanzibar kuunguruma Novemba 27, zimo za Mv.Spice Islander na Sheikh Farid; https://youtu.be/XT3SaS0mWoo

SIMU.TV:  CCM, CUF Zanzibar sasa washindania mafusho, viti maalum vyazua balaa CHADEMA Zanzibar. Zitto kufufua makaburi bungeni; https://youtu.be/tTqc5K52ydY 

SIMU.TV:  Makocha wachambua kipigo cha Taifa Stars, TFF yatoa pole kwa mashabiki. Simba yawatema rasmi Ndaw, Sserunkuma,  mikoa 10 yajitosa kikapu Taifa; https://youtu.be/jkvg46M1XZM  

SIMU.TV:  Waziri mkuu kaa la moto, serikali yatoa agizo kupitia upya mikataba ya ubinafsishaji. Bomoa bomoa Dar Es Salaam yashika kasi; https://youtu.be/REOvUAUSdKs

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...