Mtangaza nia wa uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samweli Sita akiongea na mfanyakazi wa Benki ya CRDB katika viwanja vya Bunge wakati wa maandalizi ya Kikao cha Bunge kinachotarajiwa kuanza hivi kariubuni.

: Mtangaza nia wa uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samweli Sita akiongea na wafanyakazi  wa Benki ya CRDB katika viwanja vya Bunge wakati wa maandalizi ya Kikao cha Bunge kinachotarajiwa kuanza hivi kariubuni.

Mtangaza nia  wa Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samweli Sita akiongea na baadhi ya waheshimiwa wabunge  kwenye Viwanja vya Bunge wakati wa maandalizi ya Kikao cha Bunge kinachotarajiwa kuanza hivi karibuni.
(PICHA NA BENJAMIN SAWE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...