KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA FAMILIA YA MAREHEMU MARTIN KASYANJU YANATARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA IJUMAA KATIKA MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM. HII NI KURUHUSU WATOTO NA NDUGU WA MAREHEMU WALIO NJE YA NCHI NA MIKOANI WAWAHI MAZISHI.
MAREHEMU KASYANJU, AMBAYE ALIKUWA MMILIKI WA BENDI MAARUFU YA FM ACADEMIA WANA NGWASUMA, ALIFARIKI JANA JIJINI DAR ES SALAAM BAADA YA KUUGUA KWA MUDA MFUPI. MSIBA UKO NYUMBANI KWA MAREHEMU OYSTERBAY JIRANI NA HOTELI YA COLOSSEUM JIJINI DAR ES SALAAM. RATIBA KAMILI YA MAZISHI ITATOLEWA PUNDE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...