SIMU.TV: Wakazi wa kisiwa cha Songosongo Mkoani Lindi wameiomba serikali kufuta nia ya kuwahamisha kisiwani humo na kumpa mwekezaji. 
SIMU.TV: Serikali imesema haina mpango wa kuyafunga maduka binafsi ya dawa yaliyoko katika Hospitali mbalimbali nchini. https://youtu.be/rz9uHSFL63k 
SIMU.TV: Shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania TUCTA limekemea na kukataa ukandamizaji unaofanywa na baadhi ya waajiri.   https://youtu.be/ERm7gZJPk6g  
SIMU.TV: Mabondia Francis Cheka na Thomas Machali wamezidi kutunishiana misuli  zikiwa zimebaki siku chache ya pambano lao litakalofanyika Morogoro; https://youtu.be/gFa8JmmFK10
SIMU.TV: Meli ya Mapinduzi yawasili katika bandari ya Zanzibar.Ikiwa ni agizo la Rais Shein kupunguza kero ya usafiri visiwani humo;  https://youtu.be/090PxmIefqQ 
SIMU.TV: Timu ya vijana chini ya miaka 15 imeendelea na mazoezi Jijini Mwanza ikiwa ni maandalizi ya mechi za kimataifa https://youtu.be/h7RdV7qf2Xc
SIMU.TV: Kutana na mtumishi wa Mungu akiwasisitiza wananchi kushiriki  katika agizo la tarehe 9 December na kufanya kazi katika hofu ya Mungu. https://youtu.be/xiduTZ5pbMk 
SIMU.TV: Yajue mengi kuhusu changamoto mbalimbali zinazowakabili watoto na watu wenye mahitaji maalumu katika jamii ya kitanzania. https://youtu.be/6kXq10dqA9s
SIMU.TV: Pata habari kutoka kwa Meneja mkuu wa gesi, akikujuza kuhusu sheria mpya za gesi na mafuta pamoja na faida kwa wanachi wake https://youtu.be/un8cPxVXx08
SIMU.TV:  Ungana na msemaji mkuu wa TANESCO Badra Masoud akikuhabarisha jinsi walivyojipanga katika sekta ya umeme, gesi na mafuta.https://youtu.be/rGG3deNJxHE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...