SIMU.TV:  Waandishi wa habari wametakiwa kutoa taarifa sahihi kuhusiana na sekta ya mafuta na gesi na namna ambavyo wananchi wanavyoweza kunufaika kwa kuwekeza katika sekta hiyo; https://youtu.be/-gTe6ft787E

SIMU.TV:  Katibu wa CCM Mkoani Mara Adam Ngalawa amesema chama hicho hakitasita kuwachukulia hatua madiwani wateule wa chama hicho watakaoshindwa kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo; https://youtu.be/aWLqGy90_fU

SIMU.TV:  Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Ally amewataka wanafunzi kujikita katika masomo maana wao ndio wanaoweza kuleta mabadiliko ya kweli katika elimu; https://youtu.be/0W4AalnDdh4

SIMU.TV:  Asasi za kiraia zimetakiwa kuwa wabunifu katika kuendeleza miradi ya maendeleo badala ya kutegemea misaada kutoka nje; https://youtu.be/GAhtEmVVf-4

SIMU.TV:  Wafanyakazi 635 wa mgodi wa Tanzanite One Simanjiro kupunguzwa kazini kutokana na uzalishaji kutoridhisha; https://youtu.be/Uc9gdRNi9SQ

SIMU.TV:  Mamlaka ya mapato TRA ikishirikiana na Jeshi la polisi imeanza ukaguzi wa Makontena yaliyokamatwa eneo la Tangi Bovu Dar es salaam. https://youtu.be/9v3LpDchQgQ

SIMU.TV:  Naibu katibu mkuu wa Ardhi amemtaka Afisa ardhi Halmashauri ya Mkoa wa Tanga kuacha kusoma ramani za viwanja.  https://youtu.be/OWtpN-_eA94

SIMU.TV:  Asasi za kiraia zaidi ya 250 toka Tanzania bara na visiwani zimekutana jijini Dar kujadili utekelezaji wa mpango wa malengo endelevu wa MDGs 17. https://youtu.be/GJ_jDiTDZu4

SIMU.TV:  Madereva wa boda boda Manispaa ya Musoma wamefanya mgomo kushinikiza uongozi wa Manispaa kufuta tozo ya sh. 100,000 https://youtu.be/sALK42BX7Wg 

SIMU.TV:  Mamlaka ya udhibiti wa Nishati na maji EWURA imetangaza kupungua kwa bei mpya elekezi ya Mafuta; https://youtu.be/FqVjtjbi7dE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...