Mkurugenzi wa KFC  Mr Louis Venter  na msimamizi wa KFC Area Coach Mr Rico Legaspi wakikata utepe kuzindua tawi la KFC eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam.
Mrs Sezaria Kiwango Mwalimu wa Shule ya Uhuru Mchanganyiko Primary akipokea cheque na wanafunzi kutoka kwa Mkurugenzi wa KFC  Mr Louis Venter.
Mkurugenzi wa KFC  Mr Louis Venter akigawa chakula kwa watoto wasioona.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...