SIMU.TV: Mabilioni ya sherehe za uhuru kutumika kupanua barabara ya Mwenge- Morocco. Rais Magufuli ashusha maelekezo kwa mashirika ya umma; https://youtu.be/rfmK8SyK3V0

SIMU.TV: Rungu jipya, serikali ya Magufuli kupunguza wafanyakazi katika ofisi za umma. Sheikh Ponda aachiwa huru Morogoro; https://youtu.be/emLq7TEa7aU

SIMU.TV: Vigogo zaidi TRA mbaroni. Pro. Lipumba ateta na Rais Magufuli. Msiri wa vigogo atoroka Kenya. Zitto aibuka na ufisadi tril.1.2; https://youtu.be/0eRsZybIG0U

SIMU.TV: Kili Stars yatolewa kwa mtutu Chalenji. Miss Tanzania atajwa ufisadi wa Sh.1.3 trilioni. Pluijm aongeza dozi kuwakabili Mgambo; https://youtu.be/z_aPUY_EdsI

SIMU.TV: Ulaji wa wabunge wafyekwa, Rais Magufuli aagiza wang’olewe kwenye bodi za mashirika ya umma. Pata habari za kisiasa, michezo na buradini katika magazeti ya leo; https://youtu.be/3MG7lAqfEWk

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...