SIMU.TV: 40 wakamatwa kuhusiana na ukwepaji kodi wa makontena bandarini. Siku 7 za rais Magufuli zaingizia serikali bil. 10; https://youtu.be/59TORm06cHk

SIMU.TV: Wanne mbaroni kwa mauwaji wa askari wa Suma JKT. Katibu mkuu ardhi aingia matatani. Kinana amjibu Lowassa; https://youtu.be/l9vHIpkOMjE

SIMU.TV: Simba, Yanga kibaruani leo. Malinzi asema tutampa ushirikiano Nape. Samatta aanza safari ya kumsaka Messi; https://youtu.be/oSUF25xu8Ak

SIMU.TV: Kova aweka dau kumsaka aliyetorokea Somaliland. Balozi Seif aagiza mikataba nyumba za serikali ifutwe.Wahamiaji haramu wageuzwa dili Dar;https://youtu.be/Ex1d-Jt3ucA

SIMU.TV: Mawaziri waliotemwa walonga. Viongozi wa dini wachambua baraza la mawaziri. Idara ya uhamiaji sasa yachachamaa; https://youtu.be/TDGTOElou9A

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...