SIMU.TV: Kortini kwa njama za kumuua Jaji Lubuva. TAZARA ni mshikemshike, serikali yaagiza ifikapo Juni waanze kujilipa mishahara wenyewe.TPA yakomalia wamiliki wa makontena 9 Dar;https://youtu.be/Fl7fkzvEi6U
SIMU.TV: Serikalini hapakaliki, kasi ya Rais Magufuli yazua hofu kwa wafanyakazi. Wafanyabiashara taharuki tupu. Wizara tano kuhamia Dodoma; https://youtu.be/mZnlcnvVQ_I
SIMU.TV: Kamishna TRA afunguka tuhuma za ufisadi Uingereza. Mashine za CT-Scan zaanza kazi Muhimbili. Meli mpya yawasili Zanzibar; https://youtu.be/SS7LLyvZC-I
SIMU.TV: Canavaro, Haji Mwinyi waanza tizi. Waziri Mkuu amtimua Benzema. Pluijm ampa mikoba Ngoma. Pata dondoo za habari za michezo zilizotawala magazetini leo; https://youtu.be/PeMK7pB8qak
SIMU.TV: TUKTA yavutiwa na Rais Magufuli, yasema inaunga mkono kasi ya kutumbua majipu. Kigogo TRA kizimbani kwa rushwa ya mil.1.5; https://youtu.be/EqDFKiLWa0M
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...