SIMU.TV: Kortini kwa njama za kumuua Jaji Lubuva. TAZARA ni mshikemshike, serikali yaagiza ifikapo Juni waanze kujilipa mishahara wenyewe.TPA yakomalia wamiliki wa makontena 9 Dar;https://youtu.be/Fl7fkzvEi6U

SIMU.TV: Serikalini hapakaliki, kasi ya Rais Magufuli yazua hofu kwa wafanyakazi. Wafanyabiashara taharuki tupu. Wizara tano kuhamia Dodoma; https://youtu.be/mZnlcnvVQ_I

SIMU.TV: Kamishna TRA afunguka tuhuma za ufisadi Uingereza. Mashine za CT-Scan zaanza kazi Muhimbili. Meli mpya yawasili Zanzibar; https://youtu.be/SS7LLyvZC-I

SIMU.TV: Canavaro, Haji Mwinyi waanza tizi. Waziri Mkuu amtimua Benzema. Pluijm ampa mikoba Ngoma. Pata dondoo za habari za michezo zilizotawala magazetini leo; https://youtu.be/PeMK7pB8qak

SIMU.TV: TUKTA yavutiwa na Rais Magufuli, yasema inaunga mkono kasi ya kutumbua majipu. Kigogo TRA kizimbani kwa rushwa ya mil.1.5; https://youtu.be/EqDFKiLWa0M

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...