
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba akipokea nyaraka za
Ofisi wakati akikabidhiwa Ofisi na Waziri aliyemaliza muda wake Dk.
Binilith Mahenge Ofisini Mtaa wa Luthuli Dar es Salaam.

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa
Rais- Mazingira na Muungano Mh. Luhaga Mpina akikabidhiwa nyaraka za
Ofisi na Naibu Waziri aliyemaliza muda wake Mh. Stephen Masele .
Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini jijini Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa
Rais akiwa Bwana Sazi Salula akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba
na Waziri aliyemaliza muda wake Dkt. Binilith Mahenge mara baada ya
makabidhiano ya Ofisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...