Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said
Meck Sadick akipanda kwenye mtambo maalum wa kuchimbia mitalo (Scaveter), wakati wa uzinduzi uliofanyika leo jijini Dar,Mtambo huo umenunuliwa na Manispaa ya Kinondoni kwa thamani zaidi ya Sh. Milioni 600.
Mkurugenzi wa Manispaa ya
Kinondoni ,Mussa Natty akimshukuru Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Meck
Sadick baada ya kuzindua scaveter iliyonunuliwa na Manispaa hiyo leo katika viwanja vya Manispaa , jijini Dar es
Salaam.picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...