Mwanamuziki wakizazi kipya kipenzi cha wengi afaamikae kwa Jina la Mr.Blue apagawisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya Jijini Mbeya katika Shoo ya Xmass iliyo andaliwa na Radio Dream Fm 91.3 Mbeya na kusapotiwa na Cocacola, Paradise In Hotel, Wasanii wa Muziki kutoka Mbeya na Michuzi Media Group, Shoo Nzima ilifanyika katika ukumbi wa wazi Paradise In Soweto                                                                     Jijini Mbeya.
 Kutoka Shoto ni Meneja wa Radio Dream Fm Mzee wa Masauti Tom Chilala akiwa Sanjari na Mwanamuziki wa muziki wa Kizazi kipya Mwana Dada Petronia katika Picha. 
Mwana Daa Petronia akitumbuiza baadhi ya Nyimbo zake katika Shoo ya Xmass iliyo andaliwa na  Radio Dream Fm mbeya.
                                  PICHA ZOTE NA MR.PENGO MBEYA.
                                            PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...