Vikundi mbalimbali vya wajasiriamali wa Vicoba, Saccos na wasindikaji
ngozi waMji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,
wakiwa kwenye kongamanola uhamasishaji wa mpango wa bima ya afya kwa
wajasiriamali na vikundivilivyosajiliwa (Kikoa)
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) Mkoani Manyara,
Isaya Shekifu akizungumza jana katika kongamano la uhamasishaji wa mpango
wa bima ya afya wa kikoa kwa wajasiriamali na vikundi vilivyosajiliwa Mji
mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro (kulia) ni Mkuu wa wilaya hiyo
Mahamoud Kambona na kushoto ni mratibu wa NHIF na mfuko wa afya ya jamii
(CHF) mkoani humo Reginald Kileo.
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambonaakizungumza
wakati akifungua kongamano la uhamasishaji wa mpango wa bima yaafya wa
kikoa kwa wajasiriamali na vikundi vilivyosajiliwa Mji mdogo
wa Mirerani, (kushoto) ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
Nchini (NHIF) wa mkoahuo, Isaya Shekifu na kulia ni Ofisa Tarafa ya
Moipo Joseph Mtataiko.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...