Vikundi mbalimbali vya wajasiriamali wa Vicoba, Saccos na wasindikaji
ngozi waMji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,
wakiwa kwenye kongamanola uhamasishaji wa mpango wa bima ya afya kwa 
wajasiriamali na vikundivilivyosajiliwa (Kikoa) 
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) Mkoani Manyara, 
Isaya Shekifu akizungumza jana katika kongamano la uhamasishaji wa mpango 
wa bima ya afya wa kikoa kwa wajasiriamali na vikundi vilivyosajiliwa Mji 
mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro (kulia) ni Mkuu wa wilaya hiyo 
Mahamoud Kambona na kushoto ni mratibu wa NHIF na mfuko wa afya ya jamii 
(CHF) mkoani humo Reginald Kileo.
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambonaakizungumza 
wakati akifungua kongamano la uhamasishaji wa mpango wa bima yaafya wa 
kikoa kwa wajasiriamali na vikundi vilivyosajiliwa Mji mdogo 
wa Mirerani, (kushoto) ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya 
Nchini (NHIF) wa mkoahuo, Isaya Shekifu na kulia ni Ofisa Tarafa ya 
Moipo Joseph Mtataiko.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...