Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Welle Ndikilo wakielekea soko kuu la Chalinze kushirikiana na wananchi kufanya usafi wa mazingira leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakifanya usafi katika soko kuu la Chalinze leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakifanya usafi katika soko kuu la Chalinze leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na wananchi wa Chalinze baada ya kushirikiana nao kufanya usafi wa mazingira ya soko kuu la Chalinze leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI
BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI
Naona vijana hamja jitokeza kwa wingi kumpongeza rais aliye maliza muda wake mzee Kikwete kwa kuitikia wito wa hapa kazi tu,tafadhalini msiwe wachoyo kiasi hiki mzee wetu huyu na yeye ame amefanya kazi vizuri tu, mimi nampongeza sana na namtakia maisha mema ya afya katika mapumziko yake,tusiwe watu wa kipya kinyemi hapa tumefika kwa jitihada zake magufuli alikuwa waziri wa kikwete kazi alizofanya alipangiwa na bosi wake sasa kijana mzuri lakini mzee wake aliye mtayarisha hafai?acheni hizo tumuache apumzike kwa amani ndio uungwana.
ReplyDeletemdau.
Dar
Mdau wa kwanza umenena na mimi nakuunga mkono.
ReplyDelete