SIMU.TV:  Wafanyabiashara Katavi walalamikia uamuzi wa kuzuiwa kupakia na kusafirisha mazao kutoka kwenye ghala la chakula;  https://youtu.be/PpQjIfK7ZP4  
SIMU.TV:  Madereva Makambako wailalamikia halmashauri kwa ubovu wa stendi ya mkoa licha ya ushuru unaolipwa na wafanyabiashara; https://youtu.be/OYrqlIv5kGY    
SIMU.TV:  Wakazi wa mkoa wa Lindi hatarini kupata upofu kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa vikope ambao umeenea sana wilayani  Ulanga;https://youtu.be/CWG8iJ5-EME  
 SIMU.TV:  Kaya 12 mkoani Mbeya zakosa makazi baada ya mvua kubwa kubomoa nyumba za wananchi na kuharibu takribani heka 14 za mazao;https://youtu.be/ft7zt7tYPk0 
 SIMU.TV:  Bodi ya mchezo wa bahati na sibu yazitaka kampuni zinazoendesha mchezo huo kuanza kulipa kodi za mapato;  https://youtu.be/KMfYm-SJb64
 SIMU.TV:  Tamaa ya fedha yawaponza mke, mtunza bustani na rafiki wa kike wa aliyekuwa afisa wa TANAPA mkoani Arusha; https://youtu.be/JQXxFSvUT1E 
 SIMU.TV:  Tiger Woods atamba kurudisha makali yake katika mchezo wa golf katika michuano ijayo licha ya tatizo la kiafya alilonalo; https://youtu.be/QL2OPH9D3zE
 SIMU.TV:  Polisi waitahadharisha jamii kusherekea sikukuu bila ya kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa sheria za nchi; https://youtu.be/k0V4uIXESns  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...