Familia ya Bw. Mgalula Fundikira inasikitika kuwataarifu ndugu, jamaa na marafiki kuwa mwanawe Mlawila (Lawi) Fundikira (18) (pichani) amefariki dunia alfajiri ya Jumamosi katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kulazwa kutokana na ajali ya gari aliyopata alfajiri ya Jumapili ya tarehe 12/11/2015.
Home
Unlabelled
TAARIFA YA MSIBA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
poleni. ingawa tunasema kazi ya Mungu haina makosa, kila jitihada zifanywe kuhahihisha vifo vinavyotokana na ajali vinadhibitiwa.
ReplyDeleteInnallilah wainnahilahi rajiuna
ReplyDeleteInna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiuon. Mwenyeez Mungu amrehem Ya Arhama R'rahimeena - AMEN.
ReplyDelete