Hapa ni Kwa Msisi mkoani Tanga ambapo mdau katutumia taswira hii ya wadau wakielekea "KUHESABIWA" vijijini kwao sehemu mbalimbali Kaskazini mwa Tanzania, ikiwa ni utamaduni wa miaka nenda miaka rudi ya kusherehekea Krismas na Mwaka Mpya. Globu ya Jamii inawapongeza wadau hawa wote kwa kukumbuka kurudi nyumbani katika msimu huu...
Home
Unlabelled
TASWIRA YA WADAU WAKIELEKEA "KUHESABIWA" makwao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...