Waliokwepa kodi TRA walipa bil.8.6/-. Kigogo kiwanda cha Urafiki asimamishwa kazi. Chagonja ahamishiwa jeshi la  zimamotoSIMU.TV:  Majipu yaendelea kutumbuliwa, rais Magufuli atengua uteuzi wa vigogo. Salamu za Gwajima zamkera Dr.Slaa; https://youtu.be/S3V6HWW_o10

SIMU.TV:  Bomoabomoa mpya yaliza mamia Dar.  Ada elekezi shule binafsi sasa ni kizungumkuti. Mkwasa aja ki vingine. Tata Africans yaandaa harambee kujikwamua. Yanga yawapotezea Wakenya , Waganda;https://youtu.be/Ft3zrHpz-Dc 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...