Waliokwepa kodi TRA walipa bil.8.6/-. Kigogo kiwanda cha Urafiki asimamishwa kazi. Chagonja ahamishiwa jeshi la zimamotoSIMU.TV: Majipu yaendelea kutumbuliwa, rais Magufuli atengua uteuzi wa vigogo. Salamu za Gwajima zamkera Dr.Slaa; https://youtu.be/S3V6HWW_o10
SIMU.TV: Bomoabomoa mpya yaliza mamia Dar. Ada elekezi shule binafsi sasa ni kizungumkuti. Mkwasa aja ki vingine. Tata Africans yaandaa harambee kujikwamua. Yanga yawapotezea Wakenya , Waganda;https://youtu.be/Ft3zrHpz-Dc
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...