Magufuli kila kona duniani. Wengi waguswa na utendaji kazi wake, wataka viongozi wa Afrika kumuiga.
SIMU.TV:  Siku 35 za Magufuli. Vigogo 78 wafyekwa, kasi yake yawatia wengi tumbo joto. CCM yampa baraka kutumbua majipu; https://youtu.be/mZba3DzjuvU
SIMU.TV:  Geti namba 5 kichaka ufisadi bandari. Mgombea CUF Mbagala ashinda pingamizi.  Daktari wa Tanzania apeta kimataifa; https://youtu.be/lSTzVW2uL08  
SIMU.TV:  Yanga kama Magufuli. Azam yaipiga mkwara Simba. SECAFA inahitaji mipango mipya. Stars under 15 yarejea Dar; https://youtu.be/-te0uv3RjP4  
SIMU.TV:  Pata habari motomoto zilizotawala katika magazeti ya leo Disemba 9.2015 hapa Simu.tv;https://youtu.be/EpSCvEEWeDM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...