Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao(watatu toka kushoto)akiwa ameshikana mikono na baadhi ya viongozi wa taasisi zilizowezeshwa na Kampuni hiyo kufanya wanajamii maisha yao kuwa murua.Wakati wa hafla ya Uzinduzi wa kampeni mpya ya kampeni hiyo ya“Life is better” inayolenga kuendelea kunufaisha jamii kwa kutoa intanet yenye kasi zaidi kwa kutuma na kupokea pesa kwa M PESA kwa haraka na salama zaidi,Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto katika picha Msimamizi wa kituo cha Mabinti Centre,Katia Geurts,Mmoja wa akina mama aliyepona Fistula Cherry Msangi,Mkurugenzi wa walemavu katika Hospitali ya CCBRT,Brenda Msangi na Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao(kushoto)akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa walemavu wa hospitali ya CCBRT,Brenda Msangi wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni mpya ya kampeni hiyo “Life is better” inayolenga kuendelea kunufaisha jamii kwa kutoa intanet yenye kasi zaidi na kutuma na kupokea pesa kwa M-PESA kwa haraka na salama zaidi ,Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa akina mama aliyetibiwa na kupona Fistula katika hospitali ya CCBRT, Cherry Msangi akitoa ushuhuda kwa waandishi wa habari wakati wa Uzinduzi wa kampeni mpya ya Vodacom Tanzania ya” Life is better” inayolenga kuendelea kunufaisha jamii kwa kutoa intanet yenye kasi zaidi na kutuma na kupokea pesa kwa M-PESA kwa haraka na salama zaidi,Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam,Wengine katika picha ni Msimamizi wa kituo cha Mabinti Centre,Katia Geurts na Mkurugenzi wa walemavu katika Hospitali ya CCBRT,Brenda Msangi(kulia).
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao akiongea na waandishi wa habari pamoja na wadau mbalimbali(hawapo pichani)wakati wa hafla ya Uzinduzi wa kampeni mpya ya kampuni hiyo ya “Life is better inayolenga kuendelea kunufaisha jamii kwa kutoa intanet yenye kasi zaidi na kutuma na kupokea pesa kwa M-PESA kwa haraka na salama zaidi,Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...