cb3
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akihutubia mbele ya wadau wa sanaa (hawapo pichani)wakati wa hafla ya kufunga maonyesho ya Siku ya Msanii iliyofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa mapema wikiendi hii jijini Dar es Salaam.
cb2
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akisalimiana na Rais wa Shirikisho la wasanii wa Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifamba mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa kwa ajili ya hafla ya kufunga maonyesho ya Siku ya Msanii mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
cb4
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Haak Neel Production waendeshaji wa maonyesho hayo Bw. Namala (katikati) akimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel mara baada ya kumaliza hotuba yake katika hafkla ya kufunga maonyesho ya Siku ya Msanii mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Leah Kihimbi.
cb1
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa mashirikisho ya wasanii Tanzania, Basata, Haak Neel Production, Bodi ya Filamu na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa hafla kufunga maonyesho ya Siku ya Msanii wikiendi hii jijini Dar es Salaam.
Picha na Frank Shija, WHVUM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...