Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hahahaaaa! Paka ameingia na Panya....
    Alisemaaaa, alisema, alisema Mwalimu alisema, vijana wangu sasa mmelegea, sharti tuanze mchakamchakaaa!!!!
    Clean clean all the mess.

    ReplyDelete
  2. MKONO WA MWENYE BIDII UTATAWALA; BALI MVIVU ATALIPISHWA KODI
    SOMA MITHALI 12:24, PIGENI KAZI WATU WA BABA, IKOMBOENI TANZANIA.

    ReplyDelete
  3. Hii kasi itatuletea maisha bora kwa wote, badala ya maisha bora kwa wachache waliokuwa juu ya sheria. Sasa nimeanza kuipenda nchi yangu.
    Tunawaombea Mungu Mh.Majaliwa na Rais wetu.

    ReplyDelete
  4. Ofisi za TRA zilikuwa zipo China,ukilipia huko basi mzigo wako unaletewa nyumbani kwa kufanyiwa direct release.
    Kweli kila lenye mwanzo ,halikosi kuwa na mwisho....nchi imepata wenye uchungu nayo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...