Kamera ya Globu ya Jamii, imeinasa taswira hii ya Mama na wanawe wakiwa wamepakiwa kwenye Baiskeli ya abiria ambayo ni moja ya vyombo vinavyotumika sana kwa usafirishaji hapa Mkoani Geita. Picha hii imepigwa katika barabara kuu ya Sengerema-Geita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...