Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Albert Msole akizungumza kwenye baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo kushoto ni Mkuu wa wilaya hiyo Mahmoud Kambona na kulia ni Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Jackson Lesikar Sipitieck.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Jackson Lesikar Sipitieck na Makamu Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Albert Msole wakifuatilia kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika mji mdogo wa Orkesumet
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wakifuatilia kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika mji mdogo wa Orkesumet.Picha na Joseph Lyimo - Globu ya Jamii, Manyara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...