Wachezaji wa klabu ya Simba jana wamelionja joto la jiwe baada ya mashabiki wa Ndanda FC kuwavamia wachezaji wakati wa mazoezi.  https://youtu.be/6kqjr9XjQ00

Timu ya CDA imetupwa nje katika mashindano ya kombe la shirikisho baada ya kupokea kichapo cha bao 1 toka kwa Singida United.  https://youtu.be/KmxQHdfWOqU
Serikali imetoa tamko kuwa itaendelea kuwalipa mishahara makocha wote  wa timu za taifa   https://youtu.be/Ochi73k6Q64
Fahamu mengi kutoka kwa Mch. Samwel Maela akikufundisha mengi kuhusu mpango wa Mungu na taifa la Tanzania mwaka 2016: https://youtu.be/rO96gpssLDs

Jionee mengi jinsi watanzania wanavyosherekea kwa furaha mwaka mpya na wakizungumza  matarajio yao kwa mwaka mpya mwaka 2016:https://youtu.be/A7jcptFyuAw

Kutana na wachambuzi wa masuala ya maendeleo kutoka visiwani Zanzibar wakikuelimisha mambo kadha wa kadha kuhusu ujenzi wa taifa:https://youtu.be/1SVUJ6ElmDA

Msikilize Mkurugenzi wa gesi kwa matumizi ya nyumbani akikuhabarisha kuhusu usambazaji na matumizi ya gesi majumbani:  https://youtu.be/MtYkLmdwXW8

Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi mhe. Lukuvi awaongoza wakazi wa jiji la Dar katika mkesha wa mwaka mpya.   https://youtu.be/HIk94oLcmNc

Serikali yaahidi kuwawekea walemavu mpango maalumu ili kuwatengezea mazingira bora ya ajira.   https://youtu.be/GH9uvGzSIAk

Jeshi la polisi mkoani Simiyu limekamata gari aina ya Toyota Harrier lililoibiwa December 7 jijini Dar   https://youtu.be/Z17Ly6KRuBY

Kamishna Suleiman Kova aliyekuwa mkuu wa kanda maalumu ya Dar es Salaam amestaafu kulitumikia jeshi la polisi.   https://youtu.be/u5xOJa44sRQ



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...