Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Bw. Masha J. Mshomba akitoa mada kwa Wahariri wa vyombo vya habari Tanzania chini ya Jukwaa la Wahariri, (TEF) wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa TEF mjini Morogoro leo Januari 29.01.2016. Mshomba aliwaeleza Wahariri hao WCF  inakusudia kuanza kulipa mafao kuanzia julai mosi mwaka huu wa 2016. Kati ya mambo yaliyojumuisha mada hiyo ni pamoja na uchangiaji katika Mfuko, adhabu kwa mujibu wa sheria namba 20/2008. (Picha na Imma Matukio)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Bw. Absalom Kibanda akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Bw. Masha J. Mshomba kutoa mada katika ukumbi wa Nashera Morogoro. WCF inakusudia kuanza kulipa mafao kuanzia julai mosi mwaka 2016. Kati ya mambo yaliyojumuisha mada hiyo ni pamoja na uchangiaji katika Mfuko, adhabu kwa mujibu wa sheria namba 20/2008
 Mhariri Haura Shamte akizungumza
 Picha ya pamoja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...