Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Bw. Masha J.
Mshomba akitoa mada kwa Wahariri wa vyombo vya habari Tanzania chini ya Jukwaa
la Wahariri, (TEF) wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa TEF mjini Morogoro leo Januari
29.01.2016. Mshomba aliwaeleza Wahariri hao WCF inakusudia kuanza kulipa mafao kuanzia julai
mosi mwaka huu wa 2016. Kati ya mambo yaliyojumuisha mada hiyo ni pamoja na uchangiaji
katika Mfuko, adhabu kwa mujibu wa sheria namba 20/2008. (Picha na Imma
Matukio)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Bw. Absalom Kibanda akimkaribisha
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Bw. Masha J. Mshomba
kutoa mada katika ukumbi wa Nashera Morogoro. WCF inakusudia kuanza kulipa
mafao kuanzia julai mosi mwaka 2016. Kati ya mambo yaliyojumuisha mada hiyo ni
pamoja na uchangiaji katika Mfuko, adhabu kwa mujibu wa sheria namba 20/2008
Mhariri Haura Shamte akizungumza
Picha ya pamoja
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...