Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kanali Mstaafu, Issa Machibya Katikati
akichimba mtaro kwa ajili ya kupitisha maji katika shule ya msingi
Muungano iliyopo Mwanga mkoani Kigoma, anayechimba naye mtaro ni Diwani
wa Mwanga Kusini (CCM), Mussa Maulid akishiriki katika uboreshaji huo
wa miundombinu ya shule hiyo, hivi sasa mkoa wa Kigoma una mvua nyingi.
Diwani wa Kata ya Mwanga Kusini, Mussa Maulid (mwenye suti ya michezo)akishiriki kuweka mazingira safi katika shule ya msingi Muungano iliyoko Mwanga mkoani Kigoma sambamba na wanafunzi wa shule hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...