Leticia Nyerere enzi ya uhai wake

Familia ya Leticia Nyerere ya Lanham, MD inasikitika kutangaza kifo cha mama Yao mpenzi kilichotokea tarehe 10 January 2016 nchini marekani. Mipango na utaratibu wa kusafirisha mwili inafanywa.
Msiba upo 9004 brightlea court, Lanham MD 20706.
Kama mila na desturi zetu tufike kuwafariji familia. Kwa maelezo zaidi wasiliana na :
Margareth mageni 240 462 9138
Emmanuel muganda 240 447 2801
Ramadhani kamguna 202 459 3838

Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...