Kushoto niAbdul Sebo  mtoto wa marehemu akipewa pole na moja ya ndugu, jamaa na marafiki waliofika nyumbani kwa marehemu Bowie kutoa pole na rambi rambi zao kwa wafiwa kutokana na kifo cha mpendwa wao Mzee George Sebo kilichotokea siku ya Jumatatu asubuhi January 18, 2016 katika Hospitali ya Prince George iliyopo Maryland nchini Marekani. Utaratibu na mipango tutajulishwa leo kwa sasa imetengenezwa GOFUNDME ambayo ni www.gofundme.com/8fjvpcns
Picha na Vijimambo/Kwanza Production
 Kati ni mke wa marehemu Aunty Grace akipewa pole na moja ya ndugu, jamaa na marafiki waliofika nyumbani kwa marehemu kujumika nao na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao mzee wetu George Sebo
 Mmoja ya wanaDMV wakijumuika pamoja na kwa kutoa pole na kuwafariji wafiwa katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao. Kushoto ni Salma Moshi.
 WanaDMV na wanafamilia wakijumuika na kuwafariji wafiwa nyumbani kwao Bowie, Maryland nchini Marekani na kutoa pole na rambi rambi zao . Kutoka kushoto ni Sharif, Tuma, Salma, Justa, Aunty Grace na Iska wakiwa na mke wa marehemu Aunty Grace kumpa pole kwenye msiba wa kuondokewa na kipenzi mume wake Mzee George Sebo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...