Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Freredick Sumaye na Mama Esther Sumaye alipokwenda kumjulia hali katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam leo Jumatatu Januari 11, 2016
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimpa pole Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Freredick Sumaye alipokwenda kumjulia hali katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam leo Jumatatu Januari 11, 2016
PICHA NA IKULU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Inapendeza kuona elite class inatibiwa hosp ya taifa muhimbili, Mungu ibariki Tanzania. Adumu rais wetu JPM

    ReplyDelete
  2. Itapendeza maradufu, kama mtanzania wa kawaida mlala hoi, ataweza naye tutibiwa katika taasisi, kama vile hao uliowaita "elite class" wanavyotibiwa hapo Muhimbili.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwani walalahoi wamekataliwa? Funguka vema

      Delete
    2. Matabaka yapo tu, hatuwezi kiyakimbia. Tajiri/masikini, aliyesoma/asiyesoma, mfanyakazi/bosi, fisadi/muadilifu.

      Yote hii ni sehemu ya maisha, maisha ni kutofautiana.

      Ukitaka "fast track" itabidi kuzama mfukoni usitegemee dezo.

      Delete
  3. Good move from Mr. President. Very class gesture to visit ex-PM.

    ReplyDelete
  4. Hata mbinguni kuna classes! Move on annony no 2. Wacha roho mbaya.

    Kumbe hawa jamaa wangechaguliwa sasa wote wangekuwa majuu wakitibiwa. Hata hivyo tunashukuru nchi yetu. Uchaguzi umekwisha sasa kazi tu kwa wananchi wote bila kujali itikadi ama class!

    ReplyDelete
  5. Kwa kweli hongera sana Magufuli unaonyesha kwa mifano kabisa kuwa siasa isiwe sababu ya kujengeana uadui . Na siasa ni kazi nje ya kazi kuna maisha ya kawaida. Hongera sana.

    ReplyDelete
  6. Bora hata wangekuwa wamekataliwa tungejua kimoja, kwao ni ndoto za mchana.

    ReplyDelete
  7. Annoy nr 5, wewe mbinguni umefika? au unasikia tu story za mbinguni na unazibugia tu nzima nzima, tatizo si matabaka, bali naona sasa watu wanayakumbatia na kuyatetea matabaka! emancipate yourselves from mental slavery, none but ourselves can free our minds......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...