Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akipokea Hati za Utambulisho za Mhe. Song Geum-young, Balozi wa Jamhuri
ya Korea Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akizungumza na Mhe. Song Geum-young, Balozi wa Jamhuri ya Korea Ikulu
jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016 baada ya kupokea hati zake za
utambulisho
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akipokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) hapa
nchini Mhe. Roeland Van de Greer Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari
5, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akiongea na Balozi wa Jumuiya ya Ulaya hapa nchini Mhe. Roeland Van de
Greer Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016 baada ya kupokea
hati zake za utambulisho
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akipokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Palestina hapa nchini Mhe.
Hazem M. Shabat Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli baada ya kupokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Palestina
hapa nchini Mhe. Hazem M. Shabat alifanya naye mazungumzo Ikulu jijini
Dar es salaam leo Januari 5, 2016.PICHA NA IKULU.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...