Wakazi wa jijini Arusha wakiwa kwenye hospitali ya rufaa ya mkoa huo ya Mount Meru kwa ajili ya kupima magonjwa yasiyoambukizwa huduma iliyokuwa inatolewa bure na shirikisho la vyama vya magonjwa yasiyoambukiza nchini (TANCDA) wakimsikiliza mfanyakazi wa TANCDA, Alphonce Kabili aliyekuwa anawapa utaratibu wa kupata huduma zao.
Wakazi wa jijini Arusha wakiwa kwenye hospitali ya rufaa ya mkoa huo ya Mount Meru kwa ajili ya kupima magonjwa yasiyoambukizwa huduma iliyokuwa inatolewa bure na shirikisho la vyama vya magonjwa yasiyoambukiza nchini (TANCDA).
Manesi wakichukua maelezo ya mkazi wa jijini Arusha, Mariam Mohamed ili kumpima magonjwa yasiyoambukizwa ya ambayo huduma hiyo ilitolewa bure na shirikisho la vyama vya wagonjwa yasiyoambukiza (TANCDA).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...