Home
Unlabelled
TRL YASITISHA KWA MUDA SAFARI ZA TRENI YA BARA KUTOKANA NA MAFURIKO KATI YA MOROGORO NA DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Tatizo la mafuriko eneo hili ni la kila msimu wa mvua au mvua kubwa ikinyesha. wizara husika zifanye utafiti wa kumaliza kero hii.
ReplyDeleteMoja ya njia ya kudhibiti mafuriko eneo hili la kero ni kufanya survey ya mito ya maji na ''contours'' zinazoelekeza maji maeneo ya mafuriko ktk reli, vijiji, miji au hata ktk jiji la DSM eneo la Jangwani.
Baada ya kubaini vyanzo vinavyo kusanya maji ya mito na ''contours'' za maeneo yanayokusanya maji yatakayosababisha mafuriko kinachofuata ni kujenga ''mabwawa'' katika maeneo ya vyanzo halisi vya mafuriko ambayo mara nyingi yapo mbali sana na reli au eneo la Jangwani DSM.
Kwa kujenga vizuizi hivyo vya maji a.k.a mabwawa, malambo, kuta n.k vyenye milango ya kuruhusu/kuzuia mtiririko wa maji kiholela ktk vyanzo ya mafuriko basi tutaweza kuzuia mafuriko kutokea ktk maeneo ''korofi'' ya mafuriko kwa kudhibiti mtiririko wa maji kwenda maeneo ya reli n.k
Na mwisho mabwawa , malambo, kutumiaka kama vyanzo vya matumizi ya maji na pia kumaliza tatizo ''endelevu la mafuriko kila mvua ikinyesha''
Nakumbuka kuna mdau Dr. Sayyid PhD alitoa mada nzuri sana hapa ktk globu ya jamii kuhusu namna ya kudhibiti mafuriko wiki iliyopita, tamaa yangu ni kuwa wahusika wanasoma mawazo haya na kuyafanyia kazi.
Mdau
Christos Papachristou
Diaspoara.