Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jini Dodoma Januari 28, 2016. Kutoka kushoto ni Jumanne Kishimba wa Kahama, Edwin Ngonyani wa Namtumbo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Hussein Amar wa Nyangwhale, Prosper Mbene wa Morogoro Kusini na Joseph Kalanda wa Sikonge. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Januari 28, 2016
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba, Bungeni Mjini Dodoma, Januari 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...