Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi.Costancia Gabusa (katikati) akichangia mada wakati wa kikao cha kupitia Filamu ya “DADA” kilichofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu Tanzania leo jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kimejumuhisha wajumbe kutoka Ofisi ya Uhamiaji Makao Makuu, Jeshi la Polisi, Wizara ya Afya na Maendeleo ya jinsia, wazee na watoto na TCRA.Kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo na kushoto ni Afisa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Fredrick Mgaza.
 Katibu Mtendaji waBodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo akielezea jambo wakatika wa kikao kazi kwa ajili ya mapitio ya Filamu ya “DADA” iliyowasilishwa ofisini kwake kwa ajili ya ukaguzi leo jijini Dar es Salam.Kushoto ni Mtengenezaji na Mmiliki wa Filamu hiyo  Bi. Christina Mroni

Wajumbe wa kikao cha mapitio ya Filamu ya “DADA” wakifuatilia Filamu hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...