Greetingz Everybody!
All good?
Well, tuanze na hii  “WALK IT OFF ” ya FID Q feat TAZ.....
Sio kawaida ya kuwatumia ngoma ambayo haijafanyika TONGWE RECORDS lakini naomba nifanye hivi kwa mara ya kwanza kwa kuwa huyu jamaa ni mvivu mno wa kufanya Video.....Na pia ni  Swahiba wangu sanaa...
WALK IT OFF.. 

Sincerely
Jay-murder .a.k.a Mkombozi wa Hip-hop

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...