Mgeni rasmi ambaye pia ni Ofisa Tawala Wilaya ya Arusha Polycarp Nkuyumba ambaye alimwakilisha Dc wa Arusha Fadhil Nkurlu katika Maonyesho ya Mashine na Mikopo yalionza Jana Katika viwanja vya Makumbusho akiongea na wananchi mbali mbali walikuja kuangalia Moanyesho hayo huku pembeni ya Afisa tawala ni Meneja Miradi na mikopo wa EFTA Peter Temu wakati wa ufunguzi huo
Picha juu na Chini SEHEMU YA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WALIFIKA KWENYE MAONYSHO HAYO WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI MGENI RASMI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...