Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha SAUT Mwaka wa(3)jijini Mwanzani,Emanuel Simbo(kushoto)akijaribu kumtoka John Lucas wa timu ya walimu,wakati wa fainali za mashindano ya ligi ya Vyuo vikuu iliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika jijini humo mwishoni mwa wiki,Ambapo timu ya walimu lililazwa kwa magoli 6-4.
Baadhi ya mashabiki wakishuhudia mtanenge wa fainali za mashindano ya ligi ya Vyuo vikuu vya jijini Mwanza yaliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki,Ambapo timu ya walimu lililazwa kwa magoli 6-4.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SAUT jijini Mwanza,Tadeus Mukamwa(wakwanza kushoto) akimkabidhi zawadi Farida Abdallah zawadi baada ya timu yake ya Netball kuibuka mshindi wa pili wakati wa fainali za mashindano ya ligi ya Vyuo vikuu iliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania zilizofanyika jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...