Rais wa Shilikisho la ngumi za Ridhaa Nchini BFT Mutta Rwakatare katikati akimkabidhi Kocha wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' mchango uliotolewa na wadau mbalimbali kwa ajili ya rambirambi ya kifo cha marehemu Mohamed Chibumbuli kilichotokea jana Mkoa wa Mtwara Wilaya ya Masasi. kushoto ni katibu Mkuu wa shirikisho hilo Makole Mashaga.
Bondia Selemani Kidunda kushoto akimshambulia Mustafa Mtoro wakati wa mashindano ya taifa yaliyofanyika katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam. Kidunda alishinda kwa K.O ya raundi ya kwanza.

Msanii wa filamu, Shamsa Ford  kushoto akipambana na Mtangazaji wa Radio TIMES FM, KHADIJA SHAIBU "DIDA' wakati wa mashindano ya taifa ambapo wao walioneshana umwamba

Msanii wa filamu, Shamsa Ford  kushoto  na MTANGAZAJI WA TIMES FM,KHADIJA SHAIBU "DIDA' wakinyooshwa mikono juu baada ya mpambano wao wakati wa mashindano ya taifa ambapo wao walionesha umwamba katika mechi ya kirafiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...