|
Rais wa Shilikisho la ngumi za Ridhaa Nchini BFT Mutta Rwakatare katikati akimkabidhi Kocha wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' mchango uliotolewa na wadau mbalimbali kwa ajili ya rambirambi ya kifo cha marehemu Mohamed Chibumbuli kilichotokea jana Mkoa wa Mtwara Wilaya ya Masasi. kushoto ni katibu Mkuu wa shirikisho hilo Makole Mashaga. |
|
Bondia Selemani Kidunda kushoto akimshambulia Mustafa Mtoro wakati wa mashindano ya taifa yaliyofanyika katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es salaam. Kidunda alishinda kwa K.O ya raundi ya kwanza. |
|
Msanii wa filamu, Shamsa Ford kushoto akipambana na Mtangazaji wa Radio TIMES FM, KHADIJA SHAIBU "DIDA' wakati wa mashindano ya taifa ambapo wao walioneshana umwamba |
Msanii wa filamu, Shamsa Ford kushoto na MTANGAZAJI WA TIMES FM,KHADIJA SHAIBU "DIDA' wakinyooshwa mikono juu baada ya mpambano wao wakati wa mashindano ya taifa ambapo wao walionesha umwamba katika mechi ya kirafiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...