Na Bakari Issa Madjeshi
Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) leo,Februari 26 linatarajiwa kupata Rais mpya ambaye atakuwa mrithi wa Rais anayemaliza muda wake, Sepp Blatter.
Katika uchaguzi huo utakaofanyika mjini Zurich nchini Uswizi, wapiga kura wapatao 207 watakusanyika nchini humo, kwa ajili ya kukamilisha zoezi hilo.
Lakini Kiongozi huyo anayemaliza muda wake, akiwa kama Kiongozi wa Bodi ya Mpira wa Miguu tangu mwaka 1998, Blatter (79) alisema mwaka jana “ilikuwa ajiuzulu kutokana na kashfa ya rushwa.”
Katika Uchaguzi huo,Wagombea watano wanatarajiwa kumrithi,Blatter.
Uchaguzi huo unatarajiwa kuanza saa 6 kwa saa za mjini Zurich;sawa na saa 4 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Wagombea hao ni
Sheikh Salman bin Ebrahim al-Khalifa
Gianni Infantino
Prince Ali bin al-Hussein
Tokyo Sexwale
Jerome Champagne.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...