Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha VETA NJIRO,
waliohudhuria kwenye mafunzo ya usalama na wizi wa umeme wa kwanza (Kushoto) ni
Afisa Huduma kwa wateja Bw. Juma Msuya.
Mwanafunzi wa Chuo cha Veta kilichopo Oljoro mkoani Arusha
akiuliza swali kwa wataalamu wa TANESCO katika mafunzo hayo.
Baadhi ya wanafunzi
wa Shule ya Msingi Oldonyo Sambu ya
Mkoani Arusha wakiwa na zawadi zao walizopewa na wataalam wa TANESCO kama
zawadi za kushiriki vyema katika mafunzo hayo na kujibu na kuuliza
maswali, kushoto ni Afisa Mahusiano na Wateja Mkoa wa Arusha Bw.Fred
Mbavai.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...