Hospitali ya mkoa Tabora Kitete yazidiwa na wagonjwa kutokana na ukosefu wa huduma bora za afya katika baadhi ya wilaya za mkoa huo.https://youtu.be/UgnG1W5wLCM  


Rais wa Burundi Piere Nkurunzinza amemuhakikishia Rais Magufuli kuwa hali ya Burundi ni shwari huku akibainisha kupokea ugeni mkubwa wa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Bw. Ban Ki-moon.https://youtu.be/GfZxnTqJt-s  

Shule ya msingi Majimatitu iliyoko Mbagala wilayani Temeke inayokabiliwa na msongamano mkubwa wa wananfunzi imepata wafadhili watakao jenga madarasa 5 na shule mpya ya ghorofa.https://youtu.be/7WYPLzwY7hc  

Serikali yatakiwa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia uhamaji holela wa wafugaji kutoka eneo moja kwenda jingine ili kuzuia migogoro kati ya wakulima na wafugaji isiyo ya lazima. https://youtu.be/FM-S4CH6X6E  

Kufuatia kufungiwa kwa chuo cha St. Joseph tawi la Songea, sintofahamu yatanda kwa wanafunzi wa chuo hicho campas ya Arusha na kupelekea wanafunzi wa chuo hicho kufanya mgomo kushinikiza uongozi wa chuo hicho kuwathibitishia kama chuo hicho hakitafungiwa. https://youtu.be/Wf1BGlDUpPw

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amhakikishia Rais John Magufuli kuwa hali ya nchini Burundi inaendelea vizuri;https://youtu.be/azoU02jZvfA  

Serikali ya Tanzania yasema itandelea kudumisha  ushirikiano wake na nchi za Uturuki, Ireland na Uswisi; https://youtu.be/8EnW3lRd3vY
  
Inaelezwa kuwa hali ya uchafu yarejea tena katika jiji la Dar es Salaam ikiwa imepita takribani miezi ya kampeni ya usafi iliyoendeshwa na Rais John Magufuli; https://youtu.be/a_RiO7GBkzw  

Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais Mhe. Seleman Jaffo  avitaka vituo vya afya mkoani Dodoma kukopa pesa kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya vituo vya afya; https://youtu.be/XLJ4rMBMfYU   

Wanafunzi wa shule za misingi na sekondari mkoani Mara waanza kunufaika na mradi wa kujifunza masomo kwa njia ya teknolojia ya habari na mawasiliano TEHAMA; https://youtu.be/EcAnr04eZxc  

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam lafanikiwa kuwa kamata watuhumiwa mbali mbali wa ujambazi wa kutumia silaha;https://youtu.be/cZpl7KLZO7Q  

Inaelezwa kuwa kampuni ya Lithos Spices itanunua tani mia tano za viuongo toka nchini; https://youtu.be/Pcldm5wgkHQ  

Bodi ya wataalamu wa ununuzi wa ugavi nchini TSPTB yatunukiwa cheti cha ubora; https://youtu.be/dbiEWeI_s5Y  

Mfuko wa maendeleo nchi TASAF wagawa ruzuku ya shilingi milioni 26 kwa kaya masikini kwa wakazi wa Tandale jijini Dar es Salaam;https://youtu.be/HBhqFG_fcUs  

Inaelezwa kuwa maonesho ya siku nne ya viwango yanatarajiwa kuanza kesho jijini Dar es Salaam; https://youtu.be/4a3BU7hLc_w  

Rais wa shirikisho la soka nchini TFF, Jamal Malinzi azungumzia sakata la upangaji wa matokeo kwa  baadhi ya timu zinazoshiriki ligi daraja la kwanza; https://youtu.be/pFZ1TlT_f6o  

Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF laingia mkataba na shirika lisilo la kiserikali la Karibu Tanzania Association KTA kwa ajili ya kuinua soka la wanawake nchini; https://youtu.be/41KdhMJ4SL8


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...