
Mkuu wa Vodacom kanda ya Kaskazini Henry Tzamburakis akimkabidhi Mkuu wa Shule ya sekondari ya Shimbwe iliyopo wilayani Moshi vijijini, Jacob Costantine, msaada wa Mashine ya kudurufu karatasi iliyotolewa na kampuni ya Vodacom ikiwa ni ahadi iliyotolewa kwa shule hiyo kupitia programu ya Pamoja na Vodacom.wengine ni walimu na wanafunzi wa shule hiyo.
Mkuu wa Vodacom kanda ya Kaskazini Henry Tzamburakis akimuelekeza Mkuu wa Shule ya sekondari ya Shimbwe iliyopo wilayani Moshi vijijini, Jacob Costantine namna ambavyo mashine ya kudurufu karatasi iliyotolewa na Vodacom shuleni hapo inavyoweza kufanya kazi.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...