Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania Bw. Jaap Frederiks alipomtembelea ofisini kwake leo 12/2/2016 jijini Dar Es Salaam kwa mazungumzo.
Waziri Mwakyembe alimwelezea balozi huyo shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wizara na balozi Jaap aliahidi kushirikiana na Tanzania kwenye masuala ya kisheria ya kimataifa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...