WAZIRI WA HABARI,UTAMADUNI,SAN AA NA MICHEZO NAPE NNAUYE ATEMBELEWA NA KAIMU MKURUGENZI WA MAWASILIANO NA UHUSIANO WA VODACOM,ROSALYNN MWORIA KWA AJILI YA MAZUNGUMZO YA KIKAZI.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosallyn Mworia wakati alipotembelea Wizarani kwa ajili ya mazungumzo ya kikazi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...