Katibu mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, amewasili Zanzibar alasiri YA LEO akitokea nchini India na Oman. Alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege alilakiwa na viongozi kadhaa wa CUF na baadaye kuelekea kwenye makaazi yake, Mbweni.
  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...