Wanawake Wajasiriamali wakiwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge wakimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.
Wanawake Wajasiriamali wakiwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi ya Zanzibar Michezani Kisonge wakimsikiliza Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho hayo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijiandaa kuyazindua Maonesho ya Wanawake Wajasiriamali Zanzibar ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kushoto Mwenyekiti wa Zanzibar Informal Sector waandalizi wa Maonesho hayo mwenye sati jeupe Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania Ndg Sabasaba Moshingi,
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe katika Banda la Benki ya Posta Tanzania kuashiria kuyafungua maonesho hayo ya Wajasiriamali Wanawake Zanzibar.kulia Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania Ndg Sabasaba Moshingi.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...