Mgeni rasmi Mh. Devota Likokola akizungumza na wamama wa vikundi mbalimbali vya ujasiliamali juu ya wanawake inabidi wajitambue, wawe na uthubutu na kusaidiana katika kuelimishana ili kuweza kuinua kipato cha cha Familia.
Mtangazaji wa kipindi cha uhondo wa Efm Dina Marious akimkalibisha mgeni rasmi katika tafrija ya wajasiriamali kutoka Dar es salaam na Pwani katika ukumbi wa Litostar Park Mbezi Salala, leo jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Mh. Devota Likokola akikata keki katika tafrija ya wajasiriamali kutoka Dar es salaam na Pwani katika ukumbi wa Litostar Park Mbezi Salala, leo jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Mh. Devota Likokola akimlisha keki msanii mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo Suzan Natasha Humba katika tafrija ya wajasiriamali kutoka Dar es salaam na Pwani katika ukumbi wa Litostar Park Mbezi Salala, leo jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Mh. Devota Likokola akikabiziwa tuzo ya mwanamke wa shoka na Mtangazaji wa kipindi cha uhondo wa Efm, Dina Marious katika tafrija ya wajasiriamali kutoka Dar es salaam na Pwani katika ukumbi wa Litostar Park Mbezi Salala, leo jijini Dar es Salaam. 
Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph akiwaburudisha wajasiriamali kutoka Dar es salaam na Pwani katika ukumbi wa Litostar Park Mbezi Salala, leo jijini Dar es Salaam.
Meneja Mawasiliano wa Efm Denis Ssebo akiwakaribisha wajasiriamali kutoka Dar es salaam na Pwani katika ukumbi wa Litostar Park Mbezi Salala, leo jijini Dar es Salaam.
Sehem ya wajasiriamali kutoka Dar es salaam na Pwani katika ukumbi wa Litostar Park Mbezi Salala, leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...