Mpango wa Taifa wa Damu salama kwa kushirikiana na waumini wa dhehebu la Sabato wanatarajia endesha zoezi la kuchangia damu kwa hiari katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Mikoa hiyo ni Dar-es-salaam, Morogoro, Mbeya, Dodoma, Mwanza, Kilimanjaro,Arusha, Kigoma, Tabora, Mara,na Iringa, lengo likiwa ni kukusanya chupa 2000.

Siku ya matendo ya huruma hufanyika jumamosi ya tatu ya mwezi wa tatu kila mwaka, ambapo waumini hushiriki katika huduma mbalimbali za jami.

Imetolewa na Idara ya Masoko na Uhusiano Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...